Watu wengi wamekuwa wakiuliza masuali mengi kuhusu webusaiti hii. Yafuatayo ni baadhi ya maswali hayo.
Furaha yangu ni kuona wapo watu wanaosoma 'wehu' uliomo humu, na kukikuza Kiswahili.
Hapana! Shule niliyoenda inatosha kujaribu kufuta ujinga.
Hadithi hizo zimetungwa na 'Mwandishi Mualikwa'.
Hilo ni swali zuri... Ni kwa sababu yaliyomo humu yametiwa 'chumvi' na halafu 'yanatembea' mbali mpaka wewe ukaweza kuyafahamu.
'Kula jiwe'!
Sina mbungi! Wewe nitumie imeili tu ikiwa utataka kutengeneza chapisho.